Wednesday, April 11, 2012
MAZISHI YA KANUMBA , WENGI WALIPOTEZA FAHAMU
Hii ilikuwa ni hali ya kawaida kutoka hapo jana ambapo kutokana na majonzi, wingi wa watu na joto la Dar Es Salaam wakinamama wengi walipoteza fahamu na kuwafanya watu wa huduma ya kwanza kuwa na kazi ya ziada kwa picha Zaidi bonyeza hapa chini
Picha zote kwa hisani ya Global Publishers
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment