Wednesday, September 12, 2012
Vituko vya Mastaa.. Chris Brown achora tattoo mpya ya mwanamke aliyepigwa uso lakini akataa kuwa ni Rihanna
Rihanna akiwa amevimba uso baada ya kupigwa na aliyekuwa mpenzi wake Chriss Brown mwaka 2009
Tatoo mpya ya Chris Brown ikiwa inaonekana kwa karibu na kuonyesha mwanamke aliyevimba uso baada ya kipigo
Chris Brown akiwa na tatoo yake mpya shingoni
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment