Tuesday, December 27, 2011

Jahazi Modern Taarab yasherehekea besdei yake ya miaka mitano kwenye gemu

Mzee Yusuf akiimba kwa manjonjo.Mzee Yusuf akiwasili ukumbini huku mashabiki wake lukuki waliwa wamelizunguka gari aliloingia nalo
                                         
Mwimbaji wa Jahazi Modern Taarabu, Fatma Mahmoud akifanya vitu vyake.

No comments:

Post a Comment