Tuesday, October 2, 2012

Pole Asha Baraka... get well soon

Asha Baraka akiwa ameanguka huko Kigoma wakati pirika za uchaguzi zikiendelea. Inasemekana ameanguka baada ya kukosa hewa ya kutosha katika chumba cha kuhesabia kura. Na hata hivyo inasemekana ameshinda kwa kishindo. Pole sana Asha Baraka, Darbase blog tunakuombea nafuu ya haraka.

No comments:

Post a Comment