Tuesday, July 3, 2012

BALOTELLI ATEGEMEA KUPATA MTOTO NA MPENZI WAKE WA ZAMANI


Raffaella Fico mrembo mwanamitindo wa Italia mwenye umri wa miaka 24, anategemea kupata mtoto na Mchezaji wa Timu ya taifa ya italia na Manchester city Mario Balotelli “super Mario”, Raffaella ametoa taarifa kuwa amegundua ni mja mzito mwezi wa tano mara baada ya penzi la wawili hao kuvunjika mara baada ya kumtuhumu balotelli kuwa na wapenzi wengi. Raffaella aliwahi na mahusiano na Mchezaji Cristiano Ronaldo
Raffaella amewaambia waandishi wa habari kuwa Mario amekuwa excited na habari za kuwa baba na inawezekana wakabatana for the sake of their child


No comments:

Post a Comment