Wednesday, November 9, 2011

Iryn Namubiru 2011 Afunika PAM awards

Mwanamuziki Iryn Namubiru amefanikiwa kuwa mwanamuziki bora wa Mwaka Nchini Uganda baada ya Kuibuka Mshindi wa Jumla katika fainali hizo zilizo fanyika week end hii
 Mwanamuziki AY kwa mara ya tatu ameshinda tuzo hizo baada ya kushinda katika kipingele cha best Male artist. Tanzania ,baada ya Kuwashinda Ally Kiba, Belle 9 na Diamond, Mwanadada Lady Jay Dee alishinda kipengele cha best Female artist ,Tanzania.
                        
The  list of the PAM Awards 2011 winners
Artiste of 2011:Iryn Namubiru 
Best male artiste of 2011:Bebe Cool
Best female artiste of the year: Iryn Namubiru
Audio Producer of the year: Paddy Man
Best Gospel Single:Abita Ebikute by Dr. Hilderman
Kadongo Kamu Artiste:MathiasWalukaga
Best Folk Artiste:Maurice Kirya
Best Afro Beat artiste:Mukisa Gwo by Dr. Jose Chameleone
Best Hip Hop artiste:Navio
Song of the year:Katikitiki by Angela Kalule
Best R N’ B single:Birowozo by Iryn Namubiru
Best R N’ B:Aziz Azion
Best Reggae group: Bebe Cool
Best Ragga Artist:Coco Finger for Emikono Wagulu
Best Kadongo Kamu single:Tomala Gasoma by Mathias Walukaga
Best Cultural Group:Kika Group
Best Afro-Beat Single:Talk N’ Talk by Mozey Radio and Weasel
Lifetime AchievementAward:  Aloysius Joy Matovu
Best Hip-Hop Single:This is how we do it by Keko feat Goodlyfe
Best New Artiste: Chris Evans
Video of the year:Agasi by Jackie Chandiru
Best Gospel artiste/ group:Pastor Wilson Bugembe
Song writer of the year (Uganda):Nince Henry
Best Live Band (Uganda): Eagles Production
Best Live Band (Tanzania): African
Best Live Band (Rwanda): Dream Boys
Best Live Band (Kenya): Umoja
Best Female Artiste (Burundi): Aziza
Best Male Artiste (Burundi):Kidum
Best Female Artiste (Tanzania):Lady Jay D
Best Female Artiste (Rwanda):Miss Jojo
Best Male Artiste (Kenya): Jaguar
Best Female Artiste (Kenya):Amani
Best Artiste of the year (Tanzania): AY
Best Artiste of the year (Rwanda):Alpha
    

No comments:

Post a Comment