Showing posts with label Lifestyle. Show all posts
Showing posts with label Lifestyle. Show all posts

Tuesday, October 9, 2012

Mhh haya majina mengine ya shule ni kiboko

Nimefurahishwa tu na hili jina la shule. Sasa sijui hata product inayotoka hapo itakuwa ni tofauti au inafanana na jina lenyewe la shule. I am just curious..

Saturday, October 6, 2012

Baada ya kuachana na demu wake Chris Brown video kuelezea juu anavyowapenda wanawake wawili kwa wakati mmoja


24 hours after announcing his break up with girlfriend of almost two years, Karrueche Tran, Chris Brown has released a video where he details his current dilemma of being in love with two women. What he said in the video below..
I’m a little drunk so I’m gonna be honest. See, y’all don’t really get the real Chris Brown but I’m gonna be honest. I’m stressed out. It’s not about the music cause I love my fans. It’s just, when you share history with somebody, and then you tend to fall in love with somebody else, it’s kind of difficult.
Is there such thing as loving two people?  I don’t know if that’s possible but for me, I feel like that. Y’all probably like, ‘What the f-ck is he talking about right now’ but I am being real. I don’t want to hurt either or.  I’m not trying to be a player, or a dog, not none of that. My mother raised me differently, so I just can’t. I don’t know man, a n-gga be stressing. That’s what n-ggas do. The life of Chris Brown

Kwa wale waliokuwa hawajui bado, Chris Brown na Girlfriend wake wa miaka 2 wameachana wiki hii baada ya girlfriend huyo kushindwa kuvumilia 'urafiki' wa Chris Brown na ex girlfriend wake Rihanna. 
Rihanna kushoto, kati Chris Brown na kulia ni Karrueche

Chris Brown walionekana pamoja kwenye concert ya Jay-Z siku hiyo hiyo aliyoachana na Karrueche kama wanavyoonekana kwa nyuma kwenye hiyo picha.
 Na chini ni Tweets za Chris Brown na Karrueche zinazothibitisha kauchana kwao


 

Friday, October 5, 2012

Kweli mapenzi yana-run dunia - mcheki Janet Jackson

Huyu ndio Janet Jackson wa sasa akiwa anavaaa kistaarabu na kujistiri maungo yake baada ya kuwa kwenye mapenzi mazito la bilionaire wa Kiarabu aitwae Wissam al Mana, the MD of luxury corporate group Al Mana Retail in the Middle East. Kuna tetesi zinadai kuwa wana mpango wa kuona na Janet kubadili dini kufuata madhehebu ya mumewe mtarajiwa.

Swali tu la kizushi.. Hivi kati ya mapenzi na Money ni nini kina-run dunia?

Thursday, September 20, 2012

Celebrites wa kike waamua kuuweka usista duu pembeni

A Pop Star singer, Shakira 35 and her Footballer boyfriend Prique
Colombian pop star Shakira, 35, confirmed yesterday Wednesday September 19th that she and her Spanish football player boyfriend, Gerard Pique, 25, are expecting their first child 
"As some of you may know, Gerard and I are very happy awaiting the arrival of our first baby!" Shakira said in a statement on her website. "At this time, we have decided to give priority to this unique moment in our lives and postpone all the promotional activities planned over the next few days."
Amber Rose, showing off her baby bump on the picture posted recently on her Instagram profile. nae ni ujauzito wa Fiance wake Wizy Khalifa
Hongereni wadada kwa hatua ya kukubali maneno matakatifu ya ..'nendeni na mkaijaze dunia'
Pia tunawaombea na wale wote ambao wanatamani na bado hawajajaaliwa Mungu pia asikilize maombi yao

Wednesday, September 19, 2012

Wauza Ngono Kenya waandamana kupinga manyanyaso

Sex workers aka Wauza ngono wa eneo la Thika, Kenya wakiwa wamelala barabarani wakati wa maandamano yao jana

Wauza ngono hao wakiwa na slogan yao ya 'Mwili wangu ni chaguo langu' wakimaanisha wako huru kuamua kuishi watakavyo, msiwababaishe
Hii biashara ya Uchangudoa, Kuuza ngono au sex workers inazidi kushamiri siku hadi siku mpaka kutengenezewa mazingira na kutakiwa kuonekana ni kitu cha kawaida. Ikiangaliwa kwa umakini kutokana na namba ya wahusiska kupanda siku hadi siku Serikali inaweza ikatumia mwanya huo kwa ongezeko la mapato ya kodi kutoka kwenye sekta hii.

Hapo juu kama inavyoonekana wauza ngono wa eneo la hika jan awaliamua kuandanamana ili kupinga unyanyaswaji wanaoupata wakati wa biashara yao. kwa habari zaidi soma hapo chini..

Friday, September 14, 2012

Weekend photos

Unaweza kwa weekend hii ukaamua kula matunda tu ya aina mbalimbali kama hapo juu, ni nzuri pia kwani inasaidia kutoa sumu mwilini

Haya kinadada, weekend hii sio mbaya mkatokezea na kivazi kama hiki, hata umeme ukizimika wewe unawasha tu taa zako kwa nyuma..wink

Thursday, September 13, 2012

Can you spot the difference btn the two groups?


Tanzanian Actress - Aunty Ezekiel

Aunty katika pozi on the stage

Tanzania actresses, still single not sure if they re ready to mingle - Aunty Ezekiel & Wema Sepetu stejini wakijifurahisha
Wema huyo actress from Tanzania nae akionyesha what her mama gave her...

Nigerian Actress, A mother of 4 and a wife - Omotola Jalade akiwa na last born wake

Nigerian Actress, a mother of 1 and a wife - Stephanie Okereke
Nadhani hakuna haja ya kusema mengi kwani picha zinajieleza wazi. ila sitaacha kusema kuwa hizi fani hazivamiwi tu, inapaswa kutulia, kuzisoma, kuzielewa na kujua jinsi ya kuishi kutokana na fani uliyoichagua. Hawa wawili wote wana degree za fine Arts kwenye vyuo vikuu huko kwao.

Wednesday, September 12, 2012

Vituko vya Mastaa.. Chris Brown achora tattoo mpya ya mwanamke aliyepigwa uso lakini akataa kuwa ni Rihanna


Rihanna akiwa amevimba uso baada ya kupigwa na aliyekuwa mpenzi wake Chriss Brown mwaka 2009

Tatoo mpya ya Chris Brown ikiwa inaonekana kwa karibu na kuonyesha mwanamke aliyevimba uso baada ya kipigo



Chris Brown akiwa na tatoo yake mpya shingoni

Friday, September 7, 2012

WAMAMA WA KIKUNDI CHA ‘SITAKI MUME’ WAMPA KICHAPO MBAKAJI

Dizaini za 'Wamama Sitaki Mume'

Kikundi cha wanawake wababe wa Kenya eneo la Kibera maarufu kama ‘Wamama Sitaki Mume’juzi walitoa kali baada ya kumpa kipigo mwanaume anayekwenda kwa jina la James Nyabuto  ambaye walimshutumu kumbaka mtoto wa kike wa miaka sita(6). Wamama hao waliamua kujichukulia hatua mkononi dhidi ya mtuhumiwa huyo baada ya kesi yake kuahirishwa na Mahakama ambapo walisema hawana imani na mahakama  maana kesi ya mbakaji huyo imechukuwa muda mrefu sana kuamuliwa na Mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana tangu January 7 mwaka huu alipotenda kosa hilo. Mtuhumiwa huyo aliokolewa na Polisi waliokuwa karibu na eneo na Mahakama na huku Maofisa wengine wakiwapoza wamam hao na kuwaambia wawe wavumilivu tu kwani haki itatendeka.