Juu Charles Baba ndani ya kasuti katamu, akifuatiwa na Ray showing love to Steve Nyerere
| Nikuchumu , Mchumu huyo Jack alikuwepo as well picha zaidi Bofya hapa chini |
![]() |
| Chezeyaa Prof Jay, hapa mzuka ulimpanda na kuonyesha vijana asili ya kiduku ni wapi |
![]() |
| Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Lager,George Kavishe akiwa katika picha ya pamoja na Wanamuziki Prof. Jay na Janet wa Twanga Pepeta ikiwa ni sehemu ya kampeni hiyo ikiwakilisha Muziki wetu |
![]() |
| . Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Lager,George Kavishe akiwa katika picha ya pamoja na Wacheza filamu,Jacob Steven na Aunt Ezekiel ikiwa ni sehemu ya kampeni hiyo ikiwakilisha Filamu zetu |
| Rais Zuma na Mkewe Bhongi katika Pozi |
| Wakikata keki ya haja katika hafla hiyo |
| Watoto wa Rais Zuma Dudu, Gugu, Phumzile and Thuthu wakiwa na Tabasamu za haja wakimpa company baba yao na mama yao mpya katika kusakata rhumba picha zote na Elmond Jiyane |
![]() |
| Looking Fab, Waendeshaji wa hafla hii usiku huu ni Milard Ayoo na mwanadada Vanessa Mdee |
![]() |
| Diamond in the house, wamependezaje |
![]() | ||||
| Amakweli ukishakuwa mchekeshaji kibongobongo lazima uchekeshe mpaka mavazi, Toka kundi la ze komedi Mpoki alikuwepo kuwavunja mbavu watazamaji |
![]() |
| Umati ulikuwepo picha zaidi bofya hapo chini |
![]() |
| Wadau wa kutoka NBC wakipozi kwa picha mara baada ya kumaliza kazi yao katika hafla ya mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo na waharir wa vyombo vya habari jana |
![]() |
| Sanamu ya Sokoine ambayo ilitengenezwa kwa mawe yaliopatikana katika milima ya Iringa. |