Showing posts with label entertainment. Show all posts
Showing posts with label entertainment. Show all posts

Sunday, October 14, 2012

BillBoard Magazine names Rihanna as a No.1 pop star of the decade

 


















Billboard ranked the hottest 100 pop stars of the decade based on sales, and Rihanna came out on top. She has the most chart appearances (34), the most top 10s (21) and the most no. 1 hits (9).

See the top 10 below...
1. Rihanna
2. Pink
3. Britney Spears
4. Kelly Clarkson
5. Mariah Carey
6. Katy Perry
7. Usher
8. The Black Eyed Peas
9. Janet Jackson
10. Madonna



Here is 11-20.


11. Lady Gaga
12. Christina Aguilera
13. Justin Timberlake
14. NickelBack
15. Match box twenty
16. Beyonce
17. Backstreet Boys
18. Jennifer Lopez
19. Maroon 5
20. Avril Lavigne






Saturday, October 6, 2012

Msanii kutoka Marekani Rick Ross atua Dar

Rick Ross akitoa salute kwa mashabiki waliofika kumpokea. yupo nchini kwa onyesho la Fiesta leo

Rick Ross (jitu la miraba minne) akiongea machache baada ya kutua nchini

Monday, October 1, 2012

Rick Ross & Young Jeezy wavimbishiana vifua kwenye BET Awards

Rick Ross kushoto na Young Jeezy kulia ambao walijaribu kuonyeshana ubabe kidogo this weekend kwenye BET Awards

Huyu ndio Rick Ross mwenye miraba minne anayetarajiwa kuja nchini hivi karibuni

According to TMZ, a fight broke out backstage between rappers Rick Ross and Young Jeezy at the 2012 BET Hip Hop Awards which was taped last night at the Atlantic Civic Center to be aired next month.

According to TMZ sources, Ross and Jeezy exchanged words backstage and started pushing and shoving each other. BET security and bodyguards for each of the rappers eventually separated them.

A member of Rick Ross' entourage allegedly pulled out a gun but no shots were fired according to police who were called to the scene. There were no arrests or reports of serious injuries

Friday, September 14, 2012

FFU ! NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA AFRIKA-MESSE,BREMEN 15.09.2012


Hapa wakiperform Bremerhaven, German


Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU,
yenye maskani yake kule ujerumani,bendi hiyo inayokamatia taji la kimataifa la
"IDA-International Diaspora Award' inatarajiwa kutumbuiza katika maonyesho
mengine makubwa siku ya jumatano 12.09.2012 itakua mjini Bremerhaven, na
Jumamosi ya 15.9.2012 Kikosi kazi hiko kitapeleka nguvu zote katika maonyesho 
makubwa ya biashara ya kiafrika "AFRIKA-MESSE" Bremen,yatakayafanyika
mjini Bremen,Ujerumani.
Bendi hiyo inayotamba CD mpya "Bongo Tambarare" ambayo imeshatua kwa
kishindo katika vituo vya redio mbali mbali ndani na nje.
Ngoma Africa band iliyoanzishwa mwaka 1993 muhasisi wake Kamanda Ras Makunja,
 wa FFU,ambaye pia ndiye kiongozi wa kikosi kazi hiko.
Kikosi kazi hiko kilichojizolea washabiki kila kona duniani kimekua tishio
la kimataifa,inasemekana kuwa ndio bendi pekee ya kiafrika iliyo fanikiwa
kuteka nyoyo za washabiki wa kimataifa na kuwafanya washabiki kuwa
ndio wamiliki wa bendi hiyo.
Usikose kuwasikiliza bofya at www.ngoma-africa.com 

Thursday, September 13, 2012

Can you spot the difference btn the two groups?


Tanzanian Actress - Aunty Ezekiel

Aunty katika pozi on the stage

Tanzania actresses, still single not sure if they re ready to mingle - Aunty Ezekiel & Wema Sepetu stejini wakijifurahisha
Wema huyo actress from Tanzania nae akionyesha what her mama gave her...

Nigerian Actress, A mother of 4 and a wife - Omotola Jalade akiwa na last born wake

Nigerian Actress, a mother of 1 and a wife - Stephanie Okereke
Nadhani hakuna haja ya kusema mengi kwani picha zinajieleza wazi. ila sitaacha kusema kuwa hizi fani hazivamiwi tu, inapaswa kutulia, kuzisoma, kuzielewa na kujua jinsi ya kuishi kutokana na fani uliyoichagua. Hawa wawili wote wana degree za fine Arts kwenye vyuo vikuu huko kwao.

Tuesday, August 28, 2012

Oprah & Tyler Perry Highest paid celebrities, Forbes


Financial website Forbes.com has named the talk show queen as the highest paid celebrity for the fourth straight year.
Winfrey has failed to find major success with joint venture partner Discovery Communications on the OWN network, but her ownership in syndicated TV shows such as "Dr. Phil", "Rachael Ray", "The Dr. Oz Show" and other media products enabled her to earn an estimated $165 million between May 2011 and May 2012.
Close behind was movie director Michael Bay, whose action-packed adventure flick "Transformers: Dark of the Moon" released last year, helped him earn $160 million based on participation in ticket and toy sales and other revenue.
Another film director, Steven Spielberg, earned $130 million in the 12-month period covered by Forbes from his participation with TV shows like "Smash" and the release of the movies "The Adventures of Tintin" and "War Horse".
Jerry Bruckheimer placed fourth with $115 million from TV shows and films including "Pirates of the Caribbean: On Stranger Tides" and behind him at No. 5 was music producer Dr. Dre, who earned $110 million based mostly on the sale of part of his stake in the Beats by Dr. Dre headphone company.
Rounding out the top 10, in order, were:
Actor and producer Tyler Perry, $105 million
Radio and TV personality Howard Stern, $95 million
Author James Patterson, $94 million
Movie producer George Lucas, $90 million
Music producer and TV personality, Simon Cowell, $90 million