Thursday, July 26, 2012

ELTON JOHN NA MUMUEWE WATARAJIA MTOTO WA PILI

The family - Sir Elton John, mumewe David na mtoto wao wa kwanza Zachary


Vituko vya mastar wa ulaya... ile couple ya mashoga wawili (Gays) Elton John 65 na David Furnish 49  ambao baada ya harusi yao walibahatika kupata mtoto wa kwanza aitwae Zachary Jackson Levon Furnish-John siku ya Chrismass mwaka 2010, wanatarajia tena kupata mtoto mwingine kutoka kwa mwanamke yuleyule waliyemtumia kupata mtoto wa kwanza (surrogate mother). Maamuzi ya kupata mtoto wa pili ni ya wao wote wawili ikiwa kila mmoja anapendelea kuwa na mtoto zaidi ya Zachary na hawapendi mtoto huyo awe mpweke.
Tunawatakia kila la heri kwa ujio wa mtoto wao wa pili na iwe familia yenye furaha na amani tele.

No comments:

Post a Comment