Thursday, May 24, 2012

breaking News,Hukumu ya Kesi ya Ubunge jimbo la Ubungo,John Mnyika Ashinda Kesi ya Ubunge

John Mnyika mbunge wa Ubungo, Ameshinda Kesi ya Matokeo ya Ubunge baada ya mahakama kutupilia mbali  Malalamiko yote na kuamuru Mlalamikaji Hawa atalipa gharama zote za kesi.

No comments:

Post a Comment