Monday, July 30, 2012

TANZANIA YAANZA VIBAYA OLYMPIC 2012

Bondia Kadunda wa pili kushoto mwenye Red jacket kabla ya pambano hilo. Kushoto ni kocha wake, Phares Magesa na maofisa wengine.

Bondia Kandunda baada ya pambano akiwa na some officials kwenye bus
Timu ya Tanzania inayotuwakilisha katika michuano ya Olympic ya mwaka 2012 imeanza vibaya baada ya bondia wa Tanzania Kadunda kupoteza mpambano wake jana wa kilo 69 kwa point 7-20 dhidi ya mpinzani wake Maldova's Belous. Mpambano huo ulifanyika ndani ya 'Excel Arena Boxing Venue'
Darbase tunasema kujikwaa sio kuanguka, so timu yetu iweke nguvu zaidi kwenye michezo iliyobaki ambapo mrembo Zakia anayeshikilia record ya Marathon kwa Tanzania atajaribu bahati yake kwenye kufukuza upepo wiki hii katikati.

No comments:

Post a Comment