Saturday, July 28, 2012

HONGERA MANJI...... VIJANA WAMEKUPA SHUKURANI ZAO

Mfadhili wa Yanga Yussuf Manji
Na ule mpambano kati ya Ma-don wawili wa Bongo Yussuf Manji na Bakhresa ndio umemalizika kwa bwana mdogo Manji kuibuka kidedea kwa mwaka huu wa 2012. Hiyo inatafsiriwa ni kama vijana wa Yanga kuamua kumpa shukrani zao mdhamini wao Manji kwa usajili mzuri wa mwaka huu.

No comments:

Post a Comment