Saturday, July 28, 2012

FINALI KAGAME CUP - Mpaka sasa Yanga 1 Azam 0

Hamis Kiiza akishangilia goli alilofunga dakika ya 44

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli lao la kwanza

Mashabiki wa Yanga wakishangilia uwanjani leo

Huu ni umati uliofurika leo uwanja wa Taifa Dar es Salaam

Mpaka sasa kipindi cha pili, Yanga wanaongoza kwa goli 1 na Azam 0. goli la kwanza la Yanga limefungwa na Hamis Kiiza dakika ya 44 kipindi cha kwanza.

No comments:

Post a Comment