Wednesday, July 25, 2012

William Balfour, kijana aliyeiangamiza familia ya Jennifer Hudson ahukumiwa miaka 3 jela


Kijana William Balfour pichani anaeshutumiwa kwa kosa la mauaji ya familia ya Mwanamuziki na mcheza sinema Jennifer Hudson mwaka 2008 jana tarehe 24 July alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu mfululizo jela. Aliotuhumiwa kuwauwa ni Mama mzazi wa Jennifer, Kaka yake na mpwa wake wa kiume.

No comments:

Post a Comment