Saturday, July 28, 2012

OLYIMPIC, KILA LA HERI TANZANIA TIMU

Pichani ni timu yetu ya Tanzania ambayo inashiriki michuano mbalimbali ya Olympic 2012 wakionekana kupepereusha bendera yetu vizuri hapo jana katika sherehe za ufunguzi wa mashindano hayo. Tunaitikia kila la heri timu yetu hiyo japo ilete hata medali moja ya Gold.
Hey, by the way walipendeza sana na suti zao.

No comments:

Post a Comment